Friday 12 June 2015

Wilaya ya Nzega wamsubilia Mh. Lowassa Barabarani

Wananchi wa kijiji cha Nata, wilaya ya Nzega wamsubilia mh.Lowassa barabarani ili waweze kumuona na kumsalimia

Mh. Lowassa akiwasalimia wananchi wa Nata




Mh. Lowassa akiwa juu ya gari ili kuweza kuwaona na kuwasalimia wananchi wenye kiu ya Maendeleo

Wazee vijana kwa watoto wakitafuta njia ya kuonana na Mh.Lowassa

No comments:

Post a Comment

4U Movement wanakuomba kufuata maadili ya Kitanzania, Karibu !